• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WALIMU 184 AJIRA MPYA WAPATA MAFUNZO ELEKEZI

Tarehe Iliyowekwa: July 9th, 2025

WALIMU 184 WA AJIRA MPYA WAPATA MAFUNZO ELEKEZI


Walimu 184 kutoka pande mbali mbali za nchi ya Tanzania walio pata ajira hivi karibu katika Halmashauri mbili yaani Halmashauri ya Mji wa Nzega na Halmashauri ya Wilaya ya Nzega wamepata mafunzo elekezi kuhusu kanuni za maadili na utendaji kazi katika utumishi wa waalimu .


Mafunzo hayo yamefanyika kwenye ukumbi wa Chama Cha Waalimu Wilaya ya Nzega (CWT) siku ya leo tarehe 9 Julai ,2025 ambapo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa wilaya ya nzega akiwakilishwa na katibu tawala wa wilaya ya Nzega Bi.Winfreda Funto .


Akifungua mafunzo hayo Bi.Winfreda Funto alianza kwakusema ndugu zangu waalimu mmeingia kwenye utumishi wa rasmi wa serikali ,huku huwa tunatumia sheria na kanuni zinazo tuongoza ukitaka mambo yaende vizuri ishi humo kwenye kanuni hizo na sheria,pia lazima nizamu ya kiutumishi lugha zinazo tumika lazima iwe yakiutumishi .


Mwisho kabisa ndugu zangu waalimu nendeni mkaishi kwa maisha yenu ya uhalisia kwani maisha huenda hatua kwa hatua ,msiende kutamani vitu msivyo viweza ikaja kuwa letea shida alisema .


Leonard Japhet katibu msaidizi tume ya utumishi wa waalimu (TSC)Nzega amewaasa Waalimu hao wahakikishe wanaenda kutoa huduma bora ,japo watakutana na wateja wakorofi wajitahidi kuvumilia pia nendeni mkatunze siri za ofisi nawala kamwe msitoe siri za ofisi kwani wewe ulie toa na ulie pokea hautakuwa salama kabisa .


Nae Juma Ibrahimu Mwalimu mpya wa shule ya Msingi ameishukuru serikali kwakumwajili napia anaona mafunzo hayo yanatija sanaa kwao kwakua wamekaa muda mrefu mtaani hivyo wamekumbushwa alisema .


Mafunzo haya ni miongoni mwajitihada za serikali kuhakikisha watumishi wa umma wanafata sheria na kanuni za utumishi wa Umma

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WALIMU 184 AJIRA MPYA WAPATA MAFUNZO ELEKEZI

    July 09, 2025
  • KITUO CHA AFYA KITENGWE KIMEKUWA MKOMBOZI KWA WAKAZI WA KATA YA MWANZOLI NA MAENEO YA JIRANI

    July 03, 2025
  • WATUMISHI WA MJI WA NZEGA WAPATA MAFUNZO YA E-UTENDAJI

    June 27, 2025
  • MJI WA NZEGA WAPATA HATI SAFI

    June 19, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017