• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UTAMADUNI MICHEZO NA SANAA

 

                  KITENGO CHA MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA

 

MAJUKUMU YA KITENGO CHA MICHEZO, UTAMADUNI NA SANAA

  • Kukusaya taarifa na takwimu mbalimblai za sekta ya utamduni Sanaa na michezo katika eneo husika la kazi
  • Kuratibu maonesho na matamasha ya Utamaduni na Sanaa katika eneo lake la kazi
  • Kuratibu mashindano ya fani zote za utamaduni kam vile Sanaa za ufundi, muziki, ngoma, mashairi, ngonjera, kwaya n.k
  • Kutoa tafsiri mbalimbali za sheria na kanuni zinazohusu sekt ya utamaduni na kushauri jinsi ya kuiztekeleza katika mamlaka husika
  • Kusimamia na kuratibu shughuli za BASATA, BAKITA, MFUKO WA UTAMADUNI, COSOTA NA BODI YAFILAMU
  • Kutoa vibali na leseni za shughuli za sekta ya utamaduni
  • Kusimamia maadhimisho Pamoja na mtukio mbalimbali ya kitaifa na kimataifa katika eneo la ke la kazi
  • Kufanya utafiti wa mila desturi na lugha za asili katik eneo lake la kazi
  • Kuratibu usajili wa vikundi, vyama. Vilabu, kumbi za maeonesho ya Sanaa na filamu katika eneo lake la kazi
  • Kuandika Makala, vijarida na vitabu kuhusu matokeo ya tafiti mbalimbali

Kufundisha fani mbalimbali za michezo

 

                       ORODHA YA MALI KALE ZILIZOPO HALMASHAURI YA MJI WA NZEGA 

UTANGULIZI:

Halmashauri ya mji Nzega ilipatikana baada ya kugawanywa kwa Halmashauri ya wilaya ya Nzega  mwaka 2015 na kuwa na Halmashauri ya mji Nzega ambayo  ina ukubwa wa Kilomita za mraba zipatazo 690.57. Kiutawala Halmashauri ya mji imegawanyika katika Tarafa 1, kata 10, Vijiji/Mitaa 35 na Vitongoji 176.  Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Halmashauri ina jumla ya watu 125,193 ambapo wanaume ni 60,097 na wanawake ni 65,096. Aidha Shughuli kubwa za kiuchumi ni kilimo, ufugaji, uvuvi, uchimbaji madini na ujasiriamali.

Makao makuu ya wilaya ya Nzega yalikuwa katika mji wa Nzega wa sasa ambapo mwaka  1942 wilaya ilianzishwa kwa kuwepo kwa Ofisi ya mkuu wa Wilaya, Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji, Ofisi za Elimu, Posta, Mawasiliano na Ujenzi na Hospitali ya Wilaya.

UONGOZI:

Mwaka 1942 Wilaya ya Nzega ilipoanzishwa ilikuwa na Mkuu wa Wilaya Mwingereza aliyeitwa Pigions. Huyu alitawala hadi mwaka 1948, ndipo akaingia Resky ambaye alitawala kwa muda mfupi kisha akatawala Ramson hadi mwaka 1955, na mwisho kabla ya Uhuru alitawala Bekker hadi mwaka 1961 wakati wa Uhuru.

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ilianzia katika jengo la ofisi ambayo kwa sasa ni Ofisi ya mradi wa kilimo baada ya idara ya Elimu msingi kuhamia Ipazi, baadae ofisi hiyo ilihamia mahali ilipo sasa, wakati wa uongozi wa Mkuu wa Wilaya aliyeitwa F. M. Ruangisa mwaka 1979.


        OFISI YA MKUU WA WILAYA ENZI ZA UKOLONI


          Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kabla ya Uhuru. Kwa sasa ni ofisi ya mradi wa kilimo cha mkonge baada ya Idara ya Elimu kuhamia ipazi.









































































































































Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017