• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KILIMO, MIFUGO NA UVUVI

KILIMO, MIFUGO NA UVUVI.

Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ni miongoni mwa Divisheni zinazotoa huduma katika jamii. Divisheni hii inatoa ushauri, elimu na mafunzo kuhusu kanuni za Kilimo, ufugaji na uvuvi bora kwa lengo la kuiwezesha jamii kupata tija katika uzalishaji wa mazao ili kuhakikisha kila kaya inajitosheleza kwa chakula, inaongeza kipato hivyo kupunguza umaskini katika jamii.

Zaidi ya asilimia 70 ya wakazi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega hujishughulisha na kilimo na ufugaji. Mazao muhimu ya chakula ni pamoja na Mpunga, Mahindi, Viazi vitamu na Mihogo. Hata hivyo mpunga huzalishwa kama zao la chakula na biashara. Mazao ya biashara ni Pamba Alizeti, korosho na Karanga.

Sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi inachangia zaidi ya 30% katika pato la Halimashauri ya Mji wa Nzega.

 

MAJUKUMU YA SEKTA YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI.

Kutoa elimu/mafunzo ya kanuni bora za kilimo, ufugaji na uvuvi kwa njia mbalimbali ikiwemo mihadhara, mijadala, mashamba darasa na mashamba ya mfano.

Kudhibiti visumbufu vya mazao na mimea na mifugo.

Kuhakikisha usalama wa chakula na lishe bora unakuwepo katika ngazi ya kaya kwa kuwashauri wananchi kuhifadhi chakula katika kaya.

Kutoa mafunzo ya matumizi bora ya ardhi kwenye maeneo ya kilimo kwa kupanga na kugawa matumizi ya ardhi kwa shughuli mbalimbali ikiwemo kuongeza uzalishaji tija.

Kutoa taarifa mbalimbali zinazohusu sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi mfano ni wapi pembejeo zinapatikana, hali ya masoko, uwezesho wa kifedha na hata wadau/mashirika yanayowasaidia wakulima,wafugaji na wavuvi kupata mahitaji yao mbalimbali.

Kuwahamasisha wakulima kulima mazao ya biashara ili kuongeza kipato. Kufanya maonesho mbalimbali kupitia siku za wakulima, na hata ngazi ya wilaya kupitia maonesho ya nanenane.

Kutoa mafunzo ya hifadhi ya mazao ya kilimo kwa kuzingatia viwango vinavyohitajika na matumizi sahihi ya viuatilifu vya mazao ya kilimo ghalani.

Kuwatembelea wakulima, wafugaji na wavuvi kwa lengo la kushauri/kutatua changamoto mbalimbali wanazokutana.

Kutoa tuzo na zawadi mbalimbali kwa wakulima, wafugaji na wavuvi ili kuwahamasisha wengine kufuata kanuni bora za kilimo, ufugaji na uvuvi.

Kuboresha miundo mbinu ya Mifugo na Samaki.

Kuboresha miundo mbinu ya umwagiliaji.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017