• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mipango Miji, Ardhi na Maliasili

Idara ya Ardhi na Maliasili 

 Sekta ya Ardhi na Mipango Miji

Wakazi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega wanaishi kwenye maeneo ya makazi yaliyopangwa na kwa sehemu ndogo wanaishi kwenye maeneeo ya makazi holela yasiyo na huduma muhimu na bila uhakika wa haki zao za ardhi.  Ili kurekebisha hali hii, kuanzia mwaka 2015 mkakati wa upimaji ulianza na baadhi ya maeneo yamepimwa na elimu inazidi kutolewa ili wananchi kujua umuhimu wa kuishi kwenye maeneo yanayotambulika kisheria.

Katika mwaka wa fedha 2016/2017 imejiwekea lengo la kupanga na kusimamia maendeleo ya makazi. Halmashauri inaendelea na kazi kubwa ya kuandaa michoro ya mipango miji(Detailed planning scheme ili uendelezaji wa ardhi ufanyike kwa kufuata mipango hiyo ya matumizi bora ya ardhi. Jumla ya 100,000,000 zimetengwa kwa ajili ya fidia ya viwanja 600 vinavyotarajiwa kupimwa na kuendelezwa kadiri ya uwezo wa rasilimali fedha utakavyoongezeka.

Upimaji wa Vijiji.

Katika upimaji wa vijiji wa mwaka 2008; vijiji vyote 21 havijapimwa kwani Halmashauri hii ilianzishwa rasmi Julai 2015, hadi kufikia sasa vijiji hivi vinahitaji kufanyiwa upimaji.

  Vijiji vilivyo na Mipango ya Ardhi.

Hakuna Vijiji vilivyo na Mipango ya matumizi bora ya Ardhi (Land Use Plan) na mpango utaanza kutekelezwa fedha itakapopatikana ili kutenga maeneo ya makazi, kilimo, ufugaji michezo na maeneo ya hifadhi

 Sekta ya Maliasili na Hifadhi ya Mazingira.


MALIASILI

Halmashauri ya mji wa Nzega ina utajiri mkubwa wa maliasili ikiwa  ni pamoja na misitu miwiwli ya Kagonho uliopo kata ya Mwanzoli na misitu ya Mwakulu uliopo kijiji cha Kitengwe kata ya Mwanzoli.Misitu hii yote kwa pamoja ina ukubwa wa hekta 3,984.

Vizuizi vya Mazao ya Maliasili na Mazao Mchanganyiko

Katika kudhibiti usafirishaji wa mazao mchanganyiko yasiyolipiwa ushuru na mazao ya Maliasili, Halmashauri ilianzisha kizuizi katika eneo la Itilo (Barabara Kuu), Tabora Mwanza.Kizuizi hiki kinasaidia vile vile katika kuboresha mapato ya Halmashauri.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WAKAZI WA MJI WA NZEGA KUANZA KUNUFAIKA NA UZALISHAJI WA HEWA TIBA

    May 29, 2025
  • MHE.HUSSEIN BASHE AKABIDHI TSH.MILIONI 8 KWA KIJIJI CHA IDUDUMO KWAAJILI YA UJENZI WA NYUMBA YA MGANGA

    May 13, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017