• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

ELIMU YA AWALI NA ELIMU MSINGI


Elimu ya Awali na Elimu Msingi

Majukumu ya idara ya Elimu ya Awali na Elimu Msingi.

(i)Kupanga upatikanaji, usambazaji na matumizi ya rasilimali katika shule za msingi

(ii) Kusimamia upimaji endelevu kwa  wanafunzi wa shule za msingi.

(iii) Kusimamia utoaji wa elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi katika shule za awali na msingi

(iv) Kuratibu elimu ya stadi za maisha katika shule za msingi.

(v) Kufanya tathmini ya mahitaji ya elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi

(vi) Kufuatilia utekelezaji wa mipango na programu za elimu ya awali na msingi

(vii) Kuunda na kutunza hifadhi data ya elimu ya awali na msingi

(viii) Kuratibu na kusimamia shughuli za michezo katika shule za msingi.

Taaluma

Kitengo kitafanya shughuli zifuatazo:-

(i) Kuratibu utekelezaji wa sera, mipango ya elimu ya Awali na Msingi,

duru, na miongozo katika ngazi ya shule

(ii) Kuratibu na kusimamia usimamizi wa upimaji endelevu wa shule na

mitihani ya taifa ya darasa la nne na la saba

(iii) Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa elimu ya awali na msingi

(iv) Kuandaa taarifa za utekelezaji wa mipango na programu za maendeleo ya elimu

(v) Kuratibu utoaji wa elimu kwa ajili ya kujitegemea na kusimamia mapato,

kuzalisha shughuli/mradi katika shule za Msingi.

Vifaa na Takwimu

Kitengo kitafanya shughuli zifuatazo:-

(i) Kukusanya, kuchambua na kutafsiri takwimu za elimu ya Awali na Msingi

(ii) Kuratibu upatikanaji, usambazaji na matumizi ya rasilimali za elimu katika shule za msingi

(iii) Kuratibu takwimu za uandikishaji na vifaa kwa shule

(iv) Kuandaa taarifa za utekelezaji wa maendeleo ya elimu

(v) Kubainisha mahitaji ya rasilimali kwa shule za Halmashauri

Elimu maalum

Kitengo kitafanya shughuli zifuatazo:-

(i) Kuandaa na kusimamia mipango ya utekelezaji wa elimu ya mahitaji maalum kwa shule za msingi

(ii) Kutambua watoto wenye mahitaji maalum na kuwapeleka shule

(iii) Kukusanya taarifa za wanafunzi wenye mahitaji maalum na kushauri ipasavyo

(iv) Kuratibu upatikanaji, usambazaji na matumizi ya rasilimali kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum.

Elimu ya Watu Wazima na na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi 

Kitengo kitafanya shughuli zifuatazo: -

  • Kuandaa na kusimamia mipango ya utekelezaji wa elimu ya watu wazima na isiyo rasmi kwa elimu ya msingi.
  • Kuratibu elimu ya stadi za maisha.
  • Kufanya tathmini ya mahitaji ya elimu ya watu wazima na elimu isiyo rasmi.
  • Kushauri kuhusu uanzishwaji na matengenezo ya vituo vya mafunzo ya elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi.
  • Kuratibu upatikanaji, usambazaji na matumizi ya rasilimali kwa watu wazima na na elimu nje ya mfumo rasmi.

Taarifa ya idadi ya shule.

Halmashauri ya Mji Nzega ina jumla ya shule 45 zikiwemo shule za serikali 37 na shule zisizo za Serikali 8.

Taarifa za Matokeo kwa mwaka 2024 

Katika kipindi cha mwaka 2024, Halmashauri imefanikiwa kuendesha mitihani ya Kuhitimu darasa la saba (PSLE) na mitihani ya upimaji darasa la nne kitaifa (SFNA).

Aidha katika mitihani hiyo, Halmashauri ilifanikiwa kupata ufaulu mzuri kama inavyoonekana katika jedwali A na B hapa chini;

Jedwali A: Matokeo ya mtihani wa kuhitimu darasa la saba (PSLE) 2024.

WALIOSAJILIWA KUFANYA MTIHANI
WALIOFANYA MTIHANI
WASIOFANYA MTIHANI
WALIOFAULU
% YA UFAULU
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
89.19
1019
1423
2442
970
1371
2341
49
52
101
870
1218
2088

Jedwali B: Matokeo ya mtihani wa upimaji kitaifa darasa la nne (SFNA) 2024

WALIOSAJILIWA KUFANYA MTIHANI
WALIOFANYA MTIHANI
WASIOFANYA MTIHANI
WALIOFAULU
% YA UFAULU
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
87.4
1699
1883
3582
1567
1805
3372
132
78
210
1304
1643
2947

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017