• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TREKTA 20, POWER TILLER KULETA MAPINDUZI YA KILIMO HALMASHAURI YA MJI NZEGA

Tarehe Iliyowekwa: October 2nd, 2025

TREKTA 20, POWER TILLER KULETA MAPINDUZI YA KILIMO NZEGA MJI


Serikali imeendelea kuthibitisha kwa vitendo nia njema ya kuwainua Wakulima kwa kuhakikisha kuwa vitendea kazi, mbolea na pembejeo zinapatikana kwa urahisi na ukaribu wa Wakulima.


Halmashauri ya Mji Nzega kwa mara ya kwanza katika historia, imepokea na kukabidhiwa trekta 10 combined Harvester moja kutoka Wizara ya Kilimo. Trekta nyingine 10, majembe ya trekta 10 haro 10 na power tillar 9 zimeshawasili kutoka ASA na zimekabidhiwa tayari .


Ujio wa Trekta hizo ni sehemu ya Mipango mikakati ya Dkt Samia Suluhu Hassan, ikisimamiwa kwa umadhubuti mkubwa na Waziri wa Kilimo, Mhe Hussein Bashe kuimarisha usalama wa chakula na kukuza mapato ya Wakulima.


Wakulima wamekuwa wakipewa mafunzo ya mara kwa mara ya kilimo cha kisasa na kanuni bora za kilimo ili kuongeza uvunaji. Mwaka wa fedha 2024/2025, Halmashauri ya Mji Nzega ilitoa mafunzo hayo kwa Wakulima 26,000 kati ya wakulima 56,000

Pia katika kipindi hicho hicho, tani 260 za mbolea ya Ruzuku ilinunuliwa na Wakulima hao.


Hii ilipelekea uvunaji wa mazao yenye tani zaidi ya 50,000 katika kipindi cha mwaka 2023/2024.


Kuanzishwa kwa Skimu ya Umwagiliaji ya Idudumo, kuliwezesha kulimwa kwa hekta 300 kwenye skimu hiyo na kuzalisha tani 1,200 ya Mazao katika msimu wa mwaka 2023/2024. Hii ni kutekeleza kwa vitendo kauli za Dkt Samia Suluhu Hassan za kuhakikisha Wakulima Wanapata tija ya kazi ya

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • TREKTA 20, POWER TILLER KULETA MAPINDUZI YA KILIMO HALMASHAURI YA MJI NZEGA

    October 02, 2025
  • SHULE SITA MPYA NDANI YA MIAKA MITANO ZA JENGWA NZEGA MJI

    September 29, 2025
  • JENGO JIPYA LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA MJI WA NZEGA LIMEKABIDHIWA

    September 24, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA RAIS WAKUTANA NA CMT

    August 22, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017