• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI MJI WA NZEGA AZUNGUMZA NA AJIRA MPYA

Tarehe Iliyowekwa: October 13th, 2025




MKURUGENZI SHOMARY MNDOLWA AWAASA AJIRA MPYA KIJIEPUSHA NA RUSHWA ,ULEVI KWENYE MAENEO YA KAZINI

Kikao cha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega Ndg.Shomary Salim Mndolwa na Watumishi wa Ajira mpya wa Halmashauri ya Mji Nzega kimefanyika siku ya ijumaa Tarehe 10, Octoba ,2025 kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji uliopo eneo la Ipazi.

Lengo la kikao hicho ilikuwa nikuwakumbusha mambo mbalimbali yanayo husu utumishi wa Umma kwa watumishi hao waajira Mpya .

Akizungumza nao Mkurugenzi wa Mji wa Nzega alisema’’najua mmekaa mtaani muda mrefu hivyo kama huna nidhamu hakikisha unakuwa na nidhamu maana huku lazima mtumishi waumma uwe na nidhamu ,pia jiepusheni na rushwa usilewe wakati upo kazini nikikukuta nakuchukulia hatua alisema .

Nae Mkuu wa Divisheni ya Utawala na Rasilimali Watu Bi.Leah Kibaki alipata wasaa wakutoa neno kwa Watumishi hao wapya alisema “Natambua hii kazi mmeitafuta kwa muda mrefu hivyo mmeipata nendeni mkatoe huduma bora kwa Wananchi watakuja wateja waaina tofauti tofauti hivyo wavumilieni ili muiwakilishe serikali vizuri’’ alisema .

Kikao hiki nimiongoni mwa jitihada zinazo fanywa na Mkurugenzi wa Mji wa Nzega kuhakikisha watumishi wa Mji wa Nzega wanapata elimu mbali mbali iliwakaweze kutimiza majukumu yao kikamilifu .




Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MJI WA NZEGA AZUNGUMZA NA AJIRA MPYA

    October 13, 2025
  • WANAFUNZI 1,126 WA SEKONDARI NZEGA MJINI KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE

    October 03, 2025
  • TREKTA 20, POWER TILLER KULETA MAPINDUZI YA KILIMO HALMASHAURI YA MJI NZEGA

    October 02, 2025
  • SHULE SITA MPYA NDANI YA MIAKA MITANO ZA JENGWA NZEGA MJI

    September 29, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017