• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HISTORIA YA HALMASHAURI YA MJI WA NZEGA

 

 

Halmashauri ya Mji wa Nzega, iliyoko katika Mkoa wa Tabora, ilianzishwa rasmi tarehe 12 Septemba 2014. Kabla ya hapo, eneo hili lilikuwa sehemu ya Halmashauri ya Wilaya ya Nzega. Mji wa Nzega ulipata hadhi ya kuwa mamlaka ya Mji Mdogo kutokana na kasi yake ya ukuaji, na hatimaye kuwa Halmashauri ya Mji.


 Halmashauri hii inapatikana katika latitude 3°45-5°00 upande wa kusini mwa mstari wa Ikweta na longitudo 32°30-33°30 Mashariki mwa mstari wa Greenwich,Mji wa Nzega hupata mvua kati ya Milimita 650 mpaka milimita 1200 kwa Mwaka ,Joto huwa linafikia 28°c-30°c na mwezi wa Oktoba hutarajiwa kuwa na joto la hali ya juu .

Halmashauri hii inajumuisha mchanganyiko wa makabila mbalimbali, yakiwemo Wasukuma, Wanyamwezi, Waha, na Wanyiramba, huku Wanyamwezi  wa kiwa ndio wenyeji wa eneo hili. Nzega iko umbali wa kilomita 116 kutoka makao makuu ya Mkoa wa Tabora, na inapakana na Wilaya ya Igunga upande wa mashariki, na Halmashauri ya Wilaya ya Nzega upande wa kaskazini , kusini na Magharibi.

Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022, Halmashauri ya Mji wa Nzega ilikuwa na wakazi wapatao 125,193.

Kutokana na fursa mbalimbali zilizopo kijiografia, kiuchumi, na kimazingira, jitihada zinaendelea kufanywa na Halmashauri pamoja na wadau mbalimbali ili kuendeleza mji huu katika nyanja mbalimbali, kwa lengo la kufikia hadhi ya Manispaa katika siku za uson


Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WAKAZI WA MJI WA NZEGA KUANZA KUNUFAIKA NA UZALISHAJI WA HEWA TIBA

    May 29, 2025
  • MHE.HUSSEIN BASHE AKABIDHI TSH.MILIONI 8 KWA KIJIJI CHA IDUDUMO KWAAJILI YA UJENZI WA NYUMBA YA MGANGA

    May 13, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017