• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

CHF ILIYOBORESHWA

Tarehe Iliyowekwa: May 12th, 2018

Mganga Mkuu wa Halmashuri ya Mji Dr Jabil Juma amefunga mafunzo ya Mfuko wa afya ya jamii (CHF) iliyoboreshwa  yaliyofanyika katika ukumbi wa Ashock kwa siku tatu toka tarehe 07/05/2018 hadi 09/05/2018 washiriki wakiwa ni watoa huduma za afya wawili na wanakamati wawili kutoka kila Zahanati na kila Kituo cha afya.

Mada kuu katika mafunzo hayo yalikwa ni pamoja na:

  • Dhana ya ugatuaji wa mipango na bajeti ya huduma za afya kwenda ngazi ya vituo - utaratibu wa kupeleka fedha moja kwa moja katika vituo (dhff)
  • JAZIA” (mfumo wa kujazia dawa, vitendanishi na vifaa tiba – pale vinapokosekana) Bohari Kuu ya Dawa (MSD).
  • Mfumo unatumia Mzabuni mmoja aliyechaguliwa kwa ushindani kujazia dawa na vifaa tiba vyote vinavyokosekana MSD.Mfuko wa Afya ya Jamii uliyoboreshwa (CHF Iliyoboreshwa)
  • Kuhakiki mwanachama wa CHF kwa kutumia mfumo wa CHF.
  • Kutuma madai kwa kutumia mfumo wa CHF.

Mafunzo hayo yaliendeshwa na Wataalam wa Halmashauri wailopata mafunzo juu ya mfumo huo ambao ni:

  • Dr Jabili Juma  -   TMO
  • Mkamila lilian  -   DHFF Coordinator
  • Imelda Malima  - Mhasibu wa afya
  • Noah Ngitoria    ­- Tehama

Mafunzo mengine yataendelea kwa maafisa waandikishaji (Enrollment Officer) watakaochaguliwa kutoka kila mtaa/kijiji ambao kazi yao kubwa ni kuwaandikisha wanachama wa CHF kwa ada ya 30,000/= kwa kaya.

Dr Jabil aliwata washiriki waliopata mafunzo kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao ipasavyo na kwamba hataacha kuwachukulia hatua watakaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo.Amewataka pia kuhakikisha wanakuwa na takwimu sahihi kwani kotukuwa na takwimu sahihi kunasababishia Halmashauri kukosa fursa mbalimbali zinazotokana na kuwa na takwimu na takwimu sahihi.

Aidha aliwasihi wanakamati walioshiriki katika mafunzo hayo kuhakikisha wanafanya uhamisishaji kwa jamii ili kujiunga na mfuko wa jamii ya Afya NHF iliyoboreshwa ikiwa ni moja ya majukumu yao.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017