• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA MJI NZEGA YAVUKA LENGO KWENYE MAKUSANYOA YAKE YA NDANI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

Tarehe Iliyowekwa: August 2nd, 2018

HALMASHAURI ya Mji wa Nzega imefanikiwa kuvuka lengo la makusanyo lilowekwa na Serikali Kuu ambapo kila Halmashauri inatakiwa kutopungua asilimia 80 ya makisio lakini Halmashauri imefikisha asilimia 98.3 ya makisio yake.

Kauli hiyo ilitolewa  na Mwenyekiti wa Halmashauri William Jomanga wakati wa Mkutano wa robo ya nne wa Baraza la Madiwani lililofaanyika tarehe 31.07.2018

Alisema kuwa kabla ya kodi ya majengo, kodi ya ardhi Na ushuru ya mabango kuondolewa kwenye mapato ya ndani ya Halmashauri na kupelekwa Serikali kuu walikisia kufikia makusanyo ya biloni 1.63.

Jomanga alisema baada ya vyanzo kuondolewa lengo lilishuka na kubaki kiasi bilioni 1.45 na kuongeza kuwa hatua hiyo inatokana na kuondolewa milioni 177 katika makisio yake ya awali.

Alisema  hadi kufikia mwisho wa mwaka wa fedha uliopita Halmashauri ilifanikiwa kukusanya shilingi 1.43 sawa na asilimia 98.3.

Kwa upande wa Mkuu wa wilaya ya Nzega Godfrey Ngupula aliipongeza Halmashauri  kwa kufanya vizuri katika kuhakikisha wanavuka lengo liliagizwa na viongozi wa Kitaifa la asilimia 80.

Aliwataka wasibweteke bali waongeze bidii katika kukusanya mapato ikiwemo kuwatoza faini wanaotupa takataka ovyo mitaani na wale wa kwenye mabasi ambayo abiria wake wana tabia ya kutupa taka barabarani kwa sababu ya kukosa vifaa vya kuweka taka ndani ya gari zao.

Ngupula aliongeza kuwa pia wanatakiwa kuhakikisha wanawaondoa Madalali katika vibanda 500 vinavyomilikiwa na Halmashauri hiyo ili waweze kukusanya kodi kuliko ilivyo hivi sasa ambapo hawapati fedha yoyote zaidi ya ushuru wakati vibanda ni vyao.

Alisema wapangaji wanatakiwa waiingie mkataba wa upangaji na Halmashauri na sio Madalali ambao wamekuwa wakiwanyonyaji kuwatoza kodi ya pango kubwa.

Kwa upande wa Katibu Tawala Msaidizi kwa upande wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora Nathalis Linuma aliwataka Madiwani na Watendaji wa Halmashauri kuendelea kubuni vyanzo vipya vya mapato kwa ajili ya kujiwekea mazingira mazuri ya kuelekea kujitegemea kwa asilimia 100 ifikapo mwaka 2025.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017