• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

IJUE MIFUMO YA KIELECTRONIKI INAYOTUMIKA KATIKA HALMASHAURI YA MJI NZEGA

Tarehe Iliyowekwa: April 5th, 2018

Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA) imeleta mapinduzi makubwa katika utendaji wa kazi katika taasisi mbalimba za Serikali.Halmashauiri ya Mji Nzega ni mojawapo ya taasisi ya Serikali ambayo imejikita katika matumizi ya TEHAMA.Kwa ujumla yamerahisisha na kuongeza kasi ya Utendaji kazi katika Halmashauri.

 Mpaka sasa Halmashauri ina Mifumo zaidi ya kumi ambapo maandalizi ya kutumia mifumo mingine zaidi yanafanywa kwa kadiri ya mahitaji.

Mifumo hiyo ni kama ifuatavyo:

HCMIS – (LAWSON) Human Capital Management Information System –Mfumo wa kiutumishi.

LGRCIS (Local Government Revenue Collection Information System)- Mfumo wa Ukusanyaji wa Mapato katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.Point Of Sale (POS) zimeunganishwa kwenye Mfumo huu .Hivyo makusanyo yoyote ya POS lazima yapitie kwenye mfumo wa huu.

EPICOR-Mfumo wa Malipo. Malipo yoyote katika Serikali za Mitaa lazima yapitie kwenye mfumo huu.

PREM (Primary Records Manager) -Mfumo wa Kutunza  Taarifa za Wanafunzi wa Shule za Msingi .Uhamisho wa Wanafunzi hufanyika kwa kutumia mfumo huu.

BEMIS (Basic Education Management Information System) - Mfumo wa ukusanyaji wa Taarifa kwa Shule za Msingi na Sekondari.Soma zaidi http://www.equip-t.org/learning-innovations/emis/

GMS ( Government Mail System) - Mfumo wa Mawasiliano ya Barua Pepe Serikalini ambao unataka Taasisi zote za Serkaili kutumia barua pepe za Serikali zenye kikoi .go.tz

SIS (Schoo Information Syestem) -Mfumo wa ukusanyaji wa Taarifa za kila siku kwa Wanafunzi na  Walimu juu ya ufundishaji kwa Shule za Msingi.Soma zaidi http://www.fhi360bi.org/user/tanzaniaSIS/#

PLAN REP (Planning, Budgeting And Reporting System) - Mfumo wa Mipango na Bajeti

FFARS (Facility Finacial Acounting and  Reporting System) -Mfumo wa  Kihasibu na Utoaji wa Taarifa za Fedha Kwenye Vituo vya Kutolea Huduma ikiwa ni kwenye Shule za Msingi, Sekondari, Vituo vya Afya pamoja na Zahanati.Mapokezi pamoja na matumizi lazima yapitie kwenye mfumo huu kwa vituo tajwa.

BARS (Biomtric Attendence Register System)-Mfumo wa Mahudhurio kwa watumishi

Tovuti ya Halmashauri  www.nzegatc.go.tz

Matumizi ya Mifumo hii yamekuwa na mafanikio makubwa sio tu katika kuongeza kasi ya utendajikazi bali kwa sehemu kubwa imepunguza pia urasimu katika utoaji huduma kwa wananchi.

Tunawataka watumiaji wa mifumo kuzingatia Sheria ,Kanuni ,Taratibu na Miongozo mbalimbali ili kutunza usalama wa Taarifa mbalimbali za Serikali zilizoko katika Mifumo hii.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017