• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

JENGO JIPYA LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA MJI WA NZEGA LIMEKABIDHIWA

Tarehe Iliyowekwa: September 24th, 2025

.

JENGO JIPYA LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA MJI WA NZEGA LIMEKABIDHIWA

 

Katika kipindi cha miaka mitano ya Utawala wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali ilikamilisha ujenzi wa jengo jipya la Utawala linalotumika kama Makao Makuu ya Halmashauri ya Mji Nzega.

Jengo hili lenye ghorofa moja, limegharimu zaidi ya shilingi bilioni tano za Kitanzania na limekabidhiwa rasmi Mwaka 2024. Kwa sasa linatumika kutoa huduma kwa Wananchi na liko eneo la Ipazi Kata ya Kitangili, Mjini Nzega.

Kazi zote za Ujenzi wa Jengo hili zimefanywa na Wakandarasi wa ndani ya nchi, huku Mkandarasi Mkuu akiwa ni Mzinga Holdings wa Mjini Morogoro. Mkandarasi huyu alitumia shilingi bilioni 4.8 kukamilisha awamu ya kwanza ya Ujenzi wa jengo hili lenye viwango sahihi kwa usalama wa Watushi na Wageni,

Pia nyingine ya mzawa, Nusaki Company Ltd, yenye makao yake makuu Mjini Nzega, ilitumia shilingi Milioni 870 kukamilisha shughuli za Umaliziaji wa jengo hili. Shughuli hizo ni Pamoja na ujenzi wa uzio kwa ajili ya usalama, pia kusimika taa za kuzunguka Jengo zima. Na barabara ya kuingia na kutoka.

Kampuni ya Nusaki Company Limited Imetumia kiasi hicho cha Fedha kujenga Barabara ya yenye urefu wa mita 240, inayounganisha jengo hili la makao makuu ya Halmashauri ya Mji  Nzega na Barabara kuu ya Nzega Singida.  Shughuli nyingine ni Pamoja na landscaping, na kuweka vitofali vidogo vidogo (paving blocks) ili kufanya mazingira ya jengo hili kuwa yenye mvuto na kutunza Mazingira.

Mbali ya ofisi za wataalamu mbali mbali, ndani ya jengo hili kuna kumbi mbili ndogo za mikutano, na ukumbi mkubwa wa kisasa wenye uwezo wa kukalisha watu 300 kwa wakati mmoja.

Jengo hili pia limewekewa mifumo yote muhimu ya TEHAMA ili kurahisisha mawasiliano, Tayari kampuni ya Mawasiliano nchini, TTCL imejenga mnara wa kurahisisha mawasiliano kwa Watumishi, Wananchi na wakazi wa eneo la IPAZI na maeneo Jirani

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • TREKTA 20, POWER TILLER KULETA MAPINDUZI YA KILIMO HALMASHAURI YA MJI NZEGA

    October 02, 2025
  • SHULE SITA MPYA NDANI YA MIAKA MITANO ZA JENGWA NZEGA MJI

    September 29, 2025
  • JENGO JIPYA LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA MJI WA NZEGA LIMEKABIDHIWA

    September 24, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA RAIS WAKUTANA NA CMT

    August 22, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017