• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKUTANO WA VIKUNDI VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI.

Tarehe Iliyowekwa: February 6th, 2018


Kaimu Mkurugenzi Ndg. David Rikanga akifungua mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Community Cetre

Kabla ya kufungua Mkutano huo alikaribishwa na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bwana Godson Harry.Akimkaribisha Kaimu Mkurugenzi Bwana Harry alisema kuwa lengo kubwa la Mkutano huo ni kutambilisha rasmi SACCOS ya Wanawake ambayo msingi wake mkubwa ni uzinduzi wa Jukwaa la Kiuchumi la Wanawake Halmashauri ya Mji Nzega.Alisema kwamba wakati  wa uzinduzi wa jukwaa hilo walikubaliana kuunda chombo ambacho ni SACCOS.

NZEGA TC Wanawake SACCOS ilianza rasmi baada kufanya Mkutano wake Mkuu wa Kwanza wa uanzilishi  tarehe 15/09/2017.Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama waanzilishi takriban 120.

Alitaja pia shughuli zitakazofanyika katika mkutano huo kuwa ni pamoja na Taarifa fupi ya Utambulisho rasmi wa SACCOS ya wanawake,Masuala ya Jukwaa la Wanawake,Maelezo ya Jukwaa la Wanawake Kimkoa,Maandalizi ya siku ya Wanawake Duniani,Uchaguzi wa katibu wa Jukwaa la Wanawake pamoja na viongozi wa SACCOS.

Akifungua Mkutano huo Kaimu Mkurugenzi aliwapongeza wanawake hao kwa harakati zao za maendeleo na kwamba SACCOS hiyo itaongeza mzunguko wa hela katika Halmashauri.Aliwapongeza pia kwa kujitokeza kwa wingi kuchukua mikopo.

Alisisitiza kuwa Halmashauri itaendelea kutenga asilimia 10% kwaajili ya Wanawake na Vijana.

Ametoa wito kwa vijana kujitikeza kwa wingi kuchukua mikopo kwani wamekuwa wakilegalega.

Katika Mkutano huo Zuhura Salum alichaguliwa kuwa katibu wa Jukwaa la Wanawake.

VIONGOZI WA SACCOS.

  • MWENYEKITI –FATUMA IDDI
  • KATIBU     -       AMINA RAMADHANI
  • MWEKA HAZINA –SILAYO
  • WAJUMBE         -ASIA OMARI

                                   -HALIMA

                                  -HAPPINESS

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017