• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mwenge wa Uhuru wazindua miradi ya maendeleo Nzega

Tarehe Iliyowekwa: September 20th, 2023

Mwenge wa Uhuru umezindua Miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni mbili na milioni miatano  Kwenye Halmashauri ya Mji wa Nzega iliyoko Mkoa wa Tabora.

Mbio za Mwenge huo asubuhi ya Tarehe 20/09/2023, zilianza kwa makabidhiano ya Mwenge huo kutoka kwa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega, ambapo Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Naitapwaki Tukai aliwakaribisha rasimi wakimbiza Mwenge na Kusema Wilaya yake iko tayari kwa ukaguzi wa shughuli na Miradi ya maendeleo na kuzindua miradi hiyo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji – Nzega, Bwana Shomary Mndolwa, alisema miradi ilyozinduliwa ni pamoja na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa mradi wa mabwawa ya kutibu maji taka uliojengwa kwa gharama ya Shs Bilioni 1 na milioni miatano.

Pia Mwenge wa Uhuru uliweka jiwe la Msingi kwenye mradi wa maduka mjini Nzega na pia Kuzindua vyumba viwili vya madarasa na vyoo katika Shule ya Msingi ya Nyasa II.  Ukiwa katika eneo la Uwanja wa Ndege, Mwenge wa Uhuru ulikagua shughuli za vijana wajasiriamali na kushiriki shughuli za upandaji miti.

Pia Mwenge wa Uhuru uliweka jiwe la msingi katika jengo jipya la wodi ya Baba, Mama na Mtoto Zahanati ya kata Miguwa.  Baadaye msafara huo ulikagua na kuona shughuli za Uhamasishaji wa Lishe na kuona shughuli za vikundi vya wajasiriamali vya Mjini Nzega.

Katika kutimiza kauli mbia ya mwaka huu, msafara wa Mwenge wa Uhuru ulishiriki pia shughuli za Upandaji Miti ili kutunza mazingira.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017