• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MWENYEKITI UVCCM TAIFA AMPONGEZA MKUU WA WILAYA

Tarehe Iliyowekwa: October 4th, 2018

MWENYEKITI wa umoja wa vijana taifa Kheri James amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Nzega Godfrey Ngupula kwa usimamiza wa maendeleo ya Wilaya kwa uadilifu wa hali ya juu.

Pongezi hizo alizitoa wakati alipotembelea wilayani hapa, tarehe 1 Oktoba 2018 kuangalia uhai wa Jumuia ya Vijana  ikiwa ni pamoja na namana gani wanavyowezeshwa kuipitia asilimia kumi ya mapato ya ndani ya halmashauri.

Alisema nimeridhika kwa namna Mkuu wa wilaya ya Nzega anavyojituma katika kasimamia miradi ya maendeleo bila kupapasa macho na kwa haki.

Aidha alisema nimefurahishwa na jinsi alivyotekeleza agizo la Waziri mkuu Kasim Majaliwa katika kushughulikia migogoro ya ardhi iliyokuwa imedumu kwa mda mrefu bila ufumbuzi.

“Unajua lazima penye ukweli tuzungumze ukweli hapa nzega mmepata Mkuu wa Wilaya anayejiamini anayesimamia maagizo ya Serikli na kujali maslahi ya umma”. Alisema James

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Nzega Godfrey Ngupula alisema halmashauri zote katika wilaya ya Nzega zinatekeleza agizo la Serikali la kuwewezesha kiuchumi wakinamama,vijana na walemavu kuipitia asilimia kumi ya mapato ya ndani.

Ngupula alisema licha ya changamoto nyingi katika kutoa mikopo hiyo kwa vikundi vya akina mama na vijana lakini hali ni nzuri na vikundi vinaendelea kujisajili ili viweze kupatiwa mikopo.

Naye mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Nzega Amos Kanuda alisema Chama kitaendelea kusisitiza Serikali juu ya uwezeshaji wa kina mama,vijana na walemavu kama ilani ya uchaguzi inavyo elekeza.

Alisema tumekuwa na ushirikiano mzuri kati yetu na jumuiya ya Vijana, Serikali pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo ili kuhakikisha tunajenga Nzega ya kimkakati na yenye maendeleo ya haraka.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017