• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora Akoshwa na Utendaji Kazi wa Watumishi wa Umma Nzega Mji.

Tarehe Iliyowekwa: August 1st, 2024

Na James Kamala, Afisa Habari

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora, Bwana Said Juma Nkumba, amesema miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa kwa ufanisi mkubwa katika Halmashauri ya Mji wa Nzega imefanikishwa na watumishi wa umma wenye moyo wa kujitolea, bidii, na kujituma.

Bwana Nkumba alitoa kauli hiyo katika ziara yake kwenye ofisi za Halmashauri ya Mji wa Nzega na kufanya kikao na watumishi wa kada mbalimbali katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo iliyoko eneo la Ipazi, Nzega Mjini.

“Niwapongeze sana watumishi wa umma kwenye Halmashauri hii kwa juhudi na bidii zenu za kufanya kazi usiku na mchana bila kuchoka, na kuhakikisha miradi ya maendeleo ya wananchi inatekelezwa kwa ufanisi mkubwa sana. Nampongeza pia Mkurugenzi wa Halmashauri hii, Bwana Shomary Mndolwa, kwa kuwa chachu ya mafanikio hayo,” alisema.

Aliongeza kuwa Serikali imekuwa ikitenga na kuleta fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali, mbali na elimu, afya, kilimo, miundombinu, maji, na kadhalika, na yote imetekelezwa vyema, ikiwapatia wakazi wa Mji wa Nzega ahueni ya maisha yao ya kila siku.

Bwana Nkumba alisisitiza kuwa watumishi wa umma wamekuwa mstari wa mbele kutumia taaluma zao na hata kufanyakazi usiku ili miradi ya maendeleo ikamilike kwa wakati. “CCM Mkoa wa Tabora imekuja hapa kusema asanteni sana watumishi wa umma kwa moyo wenu huu wa kufanya kazi kwa bidii na kwa utaalamu wa hali ya juu sana.”

Mwenyekiti huyo wa CCM Mkoa wa Tabora alieleza shukrani zake kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuajiri watumishi wengi wa kada mbalimbali ambao wamekuwa nguvu kubwa ya kusukuma gurudumu la maendeleo.

Akitoa neno la shukrani kwa niaba ya watumishi wenzake, Mkuu wa Idara ya Rasilimali Watu ya Halmashauri ya Mji wa Nzega, Bi. Leah Kibaki, alisema CCM imekuwa karibu sana na kutoa ushirikiano unaohitajika kuhakikisha kila jambo linaenda kama inavyotakiwa.

“CCM Wilayani Nzega imekuwa ikitulea na inaendelea kutulea vizuri sana na hii inatuwezesha kutekeleza ilani ya uchaguzi kwa wepesi zaidi,” alisema.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017