• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Nzega Mji Wapigwa Msasa matumizi ya mifumo ya PEPMIS na PIPMIS

Tarehe Iliyowekwa: November 30th, 2023

Na James Kamala

Watumishi wa Umma katika Halmashauri ya Mji wa Nzega wamepatiwa mafunzo ya namna bora ya kutumia mifumo ya kielekktroniki ili kuimarisha utendaji kazi katika utumishi wa umma.

Mafunzo hayo yaliwezeshwa na kuendeshwa na maafisa kutoka Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, yanalenga kuwawezesha watumishi wa serikali kutumia mfumo huo kwa wepesi na uharaka zaidi katika utendaji kazi wa kila siku.

Mifumo iliyofundishwa ni pamoja na  Mfumo wa Kielektroni wa Uhamisho (ESS) (ess.utumishi.go.tz)  ambapo mtumishi akishajisajiri ataweza kutumia wa mtumishi na taasisi katika utumishi wa umma (PEPMIS na PIPMIS)

Lengo la mafunzo hayo ya siku moja kuwajengea watumishi hao wa umma uelewa wepesi ili waweze kuhama salama kutoka kwenye mifumo ya zamani kama vile ule wa kupima utendaji kazi -OPRAS, na mingineyo iliyokuwa haifanyiki kwa njia ya mtandao

“Mifumo ya PEPMIS na PIPMIS itakuwa na taarifa zote za mwajirwa pamoja na majukumu ya kazi, pia Mtumishi ataweza kupata hudama nyngine kwa njia ya kielektoniki kama vile kupima utendaji kazi na kuomba uhamisho kutoka eneo moja la kazi kwenda lingie au taasisi moja kwenda Nyingine,” Alisema Bi.  Elizabeth Makyao, Mkurugenzi Msaidizi kutoka Ofisi ya Rais - Utumishi

Bi. Makyao aliwaondoa hofu watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega kuwa matumizi ya mifumo hiyo ni rafiki sana na hivyo kila mtumishi anaweza kuitumia bila usumbufu wowote. Ameongeza kuwa mifumo hiyo inatumia vifurushi vya kawaida vya data, na hivyo gaharama yake ni rafiki kwa watumishi wa Umma.

Naye mwezeshaji wa mafunzo hayo Bwana Aidan Lukasi kutoka Ofisi ya Rais – Utumishi, alsema mifumo hiyo itarahisiha upimaji wa utendaji Kazi wa kila Mtumishi wa Umma. Aliongeza kuwa mifumo hiyo itawaondolea usumbufu waliokuwa wakikabiliana nao watumishi wa umma kwa kutumia mifumo ya zamani.

Usumbufu huo, alisema Bwana Lukasi kuwa pamoja na kupotea kwa nyaraka au kucheleweshewa vitu mbali mbali watumishi wa umaa na hivyo kulazimia kurudia rudia kufanya kazi mbali mbali bila sababu za msingi

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017