• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI KUJENGA DARAJA LA NHOHOBOLA

Tarehe Iliyowekwa: May 14th, 2018

Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Suleman Jaffo amesema serikali ipo tayari kujenga daraja la mto Nhobola lilipo katika kata ya Mbogwe  Halmashauri ya Mji wa Nzega ili kuondoa adha inayowakabili wananchi wa kata hiyo wakati wa kuvuka hasa nyakati za mvua  kutokana mafuriko.

Jaffo ametoa kauli hiyo leo wakati akiongea na wananchi wa kata hiyo akiwa katika ziara ya kikazi  katika Halmashauri ya Mji Nzega ambapo ametembelea eneo  litakolojengwa daraja hilo ili kujiridhisha na tadhimini aliyokabidhiwa na wataalamu juu ya  ujenzi wa daraja hilo.

"Lengo kubwa  la mimi kufika katika eneo hili ni kuona na kijiridhisha juu ya eneo litakapojengwa daraja ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Rais John Magufuli  wakati wa kampeni za uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kwasababu mvua zikinyesha hapa watu wanashindwa kuvuka kutokana na mto kufurika  na mbunge wenu amekuwa akinieleza kuhusu daraja hili na ndio maana leo nimeamua kuja kuona daraja lenyewe”.Alisema Jaffo.

Alieleza kuwa  Wizara yake imetenga jumla  Tshs bilioni 273 kwaajili  ya ujenzi wa miundombinu ya barabara  na katika fedha hizo ujenzi wa daraja la Nhobola lipo
ambapo amewataka wananchi wa Tabora  kuacha tabia ya kuhujumu miundombinu ya barabara hasa madaraja kwa kufungua vyuma.

"Mkoa wa Tabora  umekuwa na matukio mengi ya kuhujumu miundombinu hasa kufungua vyuma kwenye kingo za barabara na madaraja. Niwatake wananchi wa eneo hili kuwa walinzi katika kulinda miundombinu ya daraja  pindi litakapojengwa kwani pamoja na kuomba kuwekewa taa haitakuwa mwarobaini wa wizi kama wenyewe hamtakuwa  wailinzi" Alisisitiza waziri huyo.

Awali  akiwa katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya  Nzeg Mh; Jaffo alimkaribisha Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora ambaye aliteuliwa na Mhe.Rais hivi karibuni pia amewataka Wakurugenzi kuhakikisha kwamba hoja zote zilizoibuliwa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali  zinapatiwa majibu kwa wakati.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017