Watoto wa Mji wa Nzega waungana na Watoto wengine barani Afrika kusheherekea siku ya Mtoto wa Afrika
tukio hilo limefanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Ushirika ambapo mamia ya watoto wamekusanyika kusheherekea huku wakipata jumbe mbalimbali
siku ya mtoto wa Afrika imekuwa ikifanyika kila tarehe 16 ya mwezi june kwakila mwaka ,
kauli mbiu ya mwaka huu ya mtoto wa Afrika ni 'Haki za mtoto tulipo toka ,tulipo na tuendako'
NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)
Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA
Simu ya Mezani: +255677003373
Simu ya Mkononi: +255677003373
Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz
Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017