• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

"TABORA BILA SIFURI INAWEZEKANA"

Tarehe Iliyowekwa: October 19th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ndg.Aggrey Mwanri amewata  wadau wa elimu wanaosimamia sekta ya Elimu kuhakikisha wanasimamia kauli mbiu ya Mkoa wa Tabora inayosema “Tabora bila sifuri,utoro, utumikishaji watoto mashambani, na mimba za utotoni inawezekana kila mmoja atomize wajibu wake .

Mwanri aliyasema hayo alipokuwa anazungumza na Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari na Msingi,Maafisa elimu Kata pamoja na Maafisa Elimu wa Halmashauri za Nzega Mji na Nzega Vijijini katika kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa FDC Kitongo hivi karibuni.Lengo la kikao kazi hhicho ni kukumbushana mambo mbalimbali yanayohusiana na Elimu.

Mkuu wa Mkoa aliambatana na Katibu Tawala Mkoa Bwana Msalika Makungu.

Mkuu wa Mkoa  akiongea na Wataalam hao alisisitiza mambo mbalimbali ya Kielimu huku akianza kwa kulezea historia ya Mkoa wa Tabora kuwa ni chimbuko la wasomi na viongozi mbalimbali akiwepo Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Alisisitiza swala la utoro mashuleni huku akiwataka Maafisa Elimu Kata kuhakikisha wanawachukulia hatua wanafunzi watoro pamoja na Wazazi wao.Alisema kuwa takwimu za hivi karibuni zinaonyesa kuwa watoto 6,206 kati ya 11,004 ambao walikuwa watoro ndio wamerudi darasani kwa ajili ya kuendelea na masomo kama alivyokuwa ameagiza.

Alisema hakuna sababu ya kufanya mzazi ashindwe kumpeleka shule mtoto wake kwani Serikali ya Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeondoa vikwazo vyote vilivyokuwa vikisababisha ugumu kwa mzazi. Watoto waliorudi ni zaidi ya asilimia 50 na waliobaki wanaofikia 4,998 na kutaka waanze mara moja kutafutwa walipo kwa ajili ya kurudishwa madarasani

Awali Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu amewataka kubaki shuleni kufundisha na kuacha tabia ya kutokuwepo katika maeneo yao ya kazi.Walimu wamekuwa wakitumia mda mwingi kwenda kufuatilia mambo yao Halmashauri na kuacha majukumu yao ya msingi.Amewataka Maafisa Elimu pamoja na Maafisa Utumishi kuhakikisha wanatatua matatizo ya Walimu ili waendelee kubaki katika maeneo yao ya kazi kipindi chote.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017