• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TIMU YA UONGOZI YA KAGUA MIRADI YA TSH.BILIONI 1.8

Tarehe Iliyowekwa: January 16th, 2025

TIMU YA UONGOZI YA HALMASHAURI YA MJI WA NZEGA YA FANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YENYE THAMANI YA TSH.BILIONI 1.8

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega Bi.Joyce Emanuel ameiogoza timu ya uongozi ya Halmashauri ya Mji wa Nzega katika ukaguzi wa Miradi mitatu yenye thamani ya Tsh.Bilioni 1.8

Zoezi hili limefanyika siku ya leo Alhamisi ikiwa ni utaratibu wa kila mwezi kwa timu hii kufanya ukaguzi wa miradi  mbali mbali inayo tekelezwa ndani ya Halmashauri

Miradi hiyo ni jengo lenye madarasa matatu na ofisi moja ,matundu sita ya vyoo vya wasichana katika shule ya Msingi Tazengwa  yenye thamani ya Tsh.milioni 92.2 ambazo ni fedha kutoka BOOST

Pia katika shule ya msingi Ipilili mradi ulio kaguliwa ni  jengo la madarasa matatu na ofisi moja ,matundu sita ya vyoo vya wasichana vyote ikiwa na thamani ya  Tsh.milioni 92.2 fedha hizi zikiwa zimetoka BOOST

Pamoja nahayo pia katika Kijiji cha makomelo mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari ya amali (ufundi) imekaguliwa na timu ya uongozi ambapo jumla ya majengo 15 yanajengwa ambayo yanajumuisha madarasa ,mabweni ya wavulana na wasichana ,maabara ya fizikia,bailojia na kemia,jengo la TEHAMA,karakana za ufundi , vyoo vya wa sichana na wa vulana thamani ya mradi huu ni Tsh.bilioni 1.6 fedha hizi zimetoka SEQIUP

Miradi ya shule ya msingi ipilili na Tazengwa imefikia asilimia 98% huku mradi wa shule ya sekondari ya Amali ukiwa unaendelea na pia umefikia asilimia 58 miradi hii ya Shule ya Msingi Ipilili na Shule ya Msingi Tazegwa inaenda kuongeza mazingira mazuri ya ufundishaji na ujifunzaji

Huku shule ya sekondari  katika Kijiji cha Makomelo itakuwa shule ya kwanza ya Amali (Ufundi) katika wilaya ya nzega ambapo inatarajiwa kuleta ajira za kujiali nyingi zaidi baada ya kukamilika  ,hii imekuwa nimiongoni mwa jitihada zinazo fanywa na serikali ya Awamu ya sita ikiongozwa na Dk.Samia Suluhu Hassani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017