• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TIMU YA UKAGUZI YA MIRADI YA HALMASHAURI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Tarehe Iliyowekwa: October 21st, 2022

ZIARA YA TIMU YA UKAGUZI YA MIRADI YA HALMASHAURI

Kamati ya ukaguzi ya miradi ya halmashauri leo  tarehe 20/10/2022 imetembelea miradi  inayoendelea kujengwa katika Halmashauri.Miradi iliyotembelewa ni ujenzi wa sekondari mpya (SEQUIP) katika mtaa wa uwanja wa ndege kata ya Nzega Mjini Mashariki na ujenzi  wa Kituo cha Afya Kitengwe.

Ikiwa katika mtaa wa Uwanja wa ndege kukagua ujenzi wa shule ya Sekondari  kamati hiyo ikiongozwa na Kaimu Mkurugenzi Bi.LEAH KIBAKI ilifanya ukaguzi wa majengo yafuatayo

  • Jengo la utawala
  • Maabara 3 za sayansi(physics,chemistry,biology)
  • Jengo la ICT
  • Maktaba
  • Matundu ya vyoo
  • Mfumo wa kunawa mikono .

Kamati iliridhika na hatua iliyofikiwa na ujenzi huo pamoja na ubora wake japo kuna marekebisho madogo ambayo kamati ilimwaagiza fundi kukamilisha.viongozi paomja na wajumbe wa mtaa huo waliokuwepo kwenye ukaguzi huo waliishauri kamati kuweka barabara katika eneo hilo ili  kuondoa wasiwasi kwa wananchi waliojenga jirani na eneo la shule.Kaimu Mkurugenzi akijibu hoja hiyo aliwaakikishia kuwa swala hilo litafanyiwa kazi mapema iwezekanavyo.aliwashukuru pia wajumbe hao kwa ushirikiano wao katiak utekelezaji wa mradi.

Ikiwa katika kata ya Mwanzoli kamati imekagua ujenzi wa Kituo cha Afya Kitengwe ambapo majengo yafuatayo yamekaguliwa:

  • Martenity complex  ambayo iko hatua ya lenta
  • Laundry iko hatua ya lenta
  • OPD na Maabara zimekamilika
  • Icenerator
  • Arsh pit iko tayari
  • Placenta pit iko tayari
  • Walk way –bado

Kamati imeridhika na hatua ya ujenzi iliyofikiwa

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017