• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA AELEZA JINSI SERIKALI YA AWAMU YA TANO INAVYOTHAMINI AFYA ZA WANANCHI.

Tarehe Iliyowekwa: April 23rd, 2018

Mkuu wa Wilaya Nzega Mhe.Godfrey Ngupula amesema Serikali ya awamu ya tano inathamini afya za wananchi  dio maana imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuboresha afya kwa upande wa kinga na tiba.

Ngupula amesema hay oleo wakati akizindua utoaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 14 iliyofanyika katika  Zahanati ya Samora ambapo alieleza kuwa katika kuelekea Tanzania ya viwanda na uchumi wakati, Serikali kupitia Wizara ya Afya inahakikisha hakuna mwananchi atakayeshindwa kufanya kazi kwa kusumbuliwa na maradhi.

“Mwaka huu wa 2018,Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeamua kuanzisha chanjoya kukinga saratani ya mlango wa kizazi ili kuwakinga mabinti dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi.” Alisema Ngupula.

Aliongeza  kuwa  kuwa takwimu zinaonyesha takriban wagonjwa wapya elfu hamsini kila mwaka hugundulika kuwa na saratani za aina mbalmbali hapa nchini na wagonjwa elfu kumi na tatu kati ya hao sawa na 26% ndio wanaofanikiwa kupata matibabu.

Alifafanua kuwa, Takwimu kutoka Taasisis ya Saratani ya Ocean Road za mwaka 2016/2017 zinaonesha kwamba saratani ya mlango wa kizazi inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi kwa 32.8% na saratani ya mlango wa kizazi  huchangia asilimia 38 ya vifo vitokanavyo na saratani.

Alisema ametaarifiwa kuwa, chanjo hiyo ni salama na imethibitishwa na shirika la Afya Duniani (WHO) na inatumika katika nchi nyingi duniani na imeonyesha  uwezo  mkubwa sana wa kuzuia saratani ya mlango wa kizazi.Hivyo  anatumaini kuwa uanzishwaji wa chanjo hiyo utaendeleza mapambano dhidi ya saratani

 Alieleza  kuwa Mkoa wetu wa Tabora unatarajia kuchanja jumla ya wasichana 32,164  na katika Halmashauri yetu ya Mji  tunatarajia kuchanja jumla ya wasichana 1,946 kwa mwaka huu wa 2018.

Aidha alisisitiza kuwa Serikali inatoa chanjo hii ya saratani ya mlango wa kizazi bila malipo yoyote katika vituo vinavyotoa huduma za chanjo vya Serikali, Mashirika ya Dini na vya Taasisi binafsi.

Mkuu wa Wilaya ametoa wito kwa wanawake wote wajitokeze kwa wingi  katika hospitali mbalimbali nchini illi waweze  kufaniwa uchunguzi dhidi ya ugonjwa wa saratani kila wakati kunapopatikana fursa hiyo. “Ninawataka Waganga Wakuu wa Wilaya kuandaa kambi za wazazi angalau mara tatu kwa mwaka ili kutoa fursa kwa wanawake wengi zaidi kupima saratani ya matiti nay a mlango wa kizazi.” Alisema Mkuu wa Wilaya.

Aliipongeza Wizara ya Afya kwa kushirikiana vyema na wadau mbalimbali wa maendeleo  ndani na nje ya nchi, na kufanya jitihada  zinazoonekana za kuboresha utoaji wa chanjo  ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi kwa lengo la kupunguza vifo vitokanavyo  na ugonjwa huo.

Pia aliwashukuru wadau mbalimbali waliochangia katika kufanikisha utoaji wa huduma za chanjo hapa nchini akiwemo shirika la Global Vaccine Alliance (DAVI), Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), Shirika la kuhudumia Watoto (UNICEF), Clinton Health Access Initiative (CHAI), John Snow Inc  (JSI) pamoja na wadau wengine kwa misaada yao.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017