 Tarehe Iliyowekwa: May 31st, 2025
 
            Tarehe Iliyowekwa: May 31st, 2025
VETA HIYOO KARIBU KUKAMILIKA
	
Ujenzi wa chuo cha VETA Halmashauri ya Mji wa Nzega kwa sasa umefikia asilimia 60 upo katika hatua ya upauaji ,chuo hiki chenye majengo 9 kikikamilika kitakuwa kinafundisha upishi na ushonaji ,ufundi wa uwashi na uselemala Pamoja na ufundi wa umeme na bomba
	
Hivyo kitaweza kuongeza ajira kwenye Mji wa Nzega kwakua vijana wengi watapata ujuzi kutoka kwenye chuo hichi
 
                              
                              
                            NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)
Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA
Simu ya Mezani: +255677003373
Simu ya Mkononi: +255677003373
Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz
Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017