• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WALIMU WAKUU NA WAKUU WA VITUO VYA AFYA WAPATA DOZI

Tarehe Iliyowekwa: July 26th, 2018

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ndg. Philemon Magesa afungua kikao  kazi cha siku moja kwa Walimu Wakuu wa Shule za Msingi na Sekondari,wakuu wa vituo vya Afya,wahasibu wa shule za msing,sekondari na vituo vya Afya kilichofanyika katika ukumbi wa Kanisa la KKKT-NZEGA tarehe 25/07/2018

Akifungua kikao hicho Mkurugenzi aliwashukuru na kuwapongeza wataalam hao kwa kuitikia wito kwa asilimia mia moja.”Nimefarijika kuona kuwa mmeitikia wito na mmefika kwa wakati,hili ni jambo jema sana mmeonyesha  okamavu wa hali ya juu katika kazi.Nimefurahishwa sana kwa namna mlivyoitikia wito”Alisema Mkurugenzi

Mkurugenzi alieleza kuwa lengo kubwa la kikiao hicho cha kikazi ni kwaajili ya kupatia uelewa juu ya mambo mbalimbali hasa usimamizi wa fedha za miradi inayopelekwa katika maeneo yao.”Tumewaita hapa kwa sababu kubwa moja,kwanza kwa kutambua kuwa hamjapata mafunzo juu ya usimamzi wa fedha za miradi na hivyo kuwepo na changamoto mbalimbali, hivyo ili tuende sawa ni vizuri  tukapa uelewa wa pamoja kwa maeneo  kadhaa hasa katika usimamizi fedha za miradi ambayo imekuwa ikiletwa katika maeneo yenu” alisema Mkurugenzi

Mkurugenzi  alitaja maeneo ambayo  wanatakiwa kupata uelewa kuwa ni pamoja na;

Udhibiti na usimamizi wa fedha zinazopelekwa katika maeno yao.Mada hiyo iliwasilishwa na Kaimu Mweka hazina Bwa Emmanuel Mzile,ambapo alisema kwa fedha zote zinazopelekwa katika ngazi za vijiji lazima zisimamiwe na kutumika kulingana na miongozo pamoja na maelekezo yanayotolewa.

Usimamizi wa mikataba .Akifafanua alieleza kuwa lazima wajue mikataba hiyo ni ya namna gani wanayoingia anandaa nani,wajue vile vitu vya msingi vya mkataba alitolea mifano ya mikataba wanayoingia kama vile ya mafundi na vibarua hivyo ni vyema kujua anayeandaa huo mkataba ni mtaalam au mteja.Mada hiyo iliwasilishwa na Mwanasheria wa Mji Bi Ester Mlayda.

Usimamzi wa miradi.Alieleza kuwa mada hiyo itawasilishwa na Benard Bedda kwa niaba ya Mhandisi wa Ujenzi .Akitolea ufafanuzi alisema kuwa lengo kubwa la mafunzo hayo ni juu ya usimamizi wa miradi ikiwa na pamoja na ubora wa miradi.aliwataka washiriki kuhakikisha kuwa wanapata uelewa mpana juu ya eneo hilo na waulize maswali ili kuondokana na dukuduku walizonazo miyoni mwao.

Mada nyingine ilihusu nyaraka za malipo mbalimbali za malipo ambayo iliwasilishwa na Mkaguzi wa Ndani Bwana Omary Samizi.Akifafanua alisema kuwa nyaraka mbalimbali ambazo zipo kwenye malipo,maunuzi au mikataba.Alisistiza kuwa fedha za Serikali lazima zikaguliwe kuona value for money, lakini pia nyaraka za matumizi ya fedha hizo lazima ziwepo.

Swala la rushwa  nalo ni swala la kuzingatia katika katika usimamizi wa miradi “unaingia mkataba lakini unajitengezea mazingira  ya kula rushwa,unakuwa na intrest na ule mkataba”.Alisema Mkurugenzi.Mada hiyo iliwasilishwa na Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Nzega.

Mada nyingine iliyowasilishwa ni pamoja na Sheria za Manunuzi ya Umma ambayo iliwasilishwa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi Bwana Patrick Mgimwa ikifuatiwa na mada ya Uundaji wa Mabaraza ya Watoto iliyowasilishwa na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bwana Godson Harry.

Awali akimkaribisha Mkurugenzi Kaimu Elimu Msingi  Bwana Ruben Nestory,aliwataka washiriki kuwa watulivu na kuhakikiksha wanaelewa juu ya mafunzo yanayotolewa .

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017