WATUMISHI WA MJI WA NZEGA WAPATA MAFUNZO YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)
Timu kutoka ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala bora imeendesha mfunzo ya mfumo wa E-UTENDAJI (PEPMIS) mafunzo hayo yamefanyika siku ya jana tarehe 26 June,2025 kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega uliopo eneo la Ipazi
lengo ya mfunzo hayo nikuwa jengea uwezo watumishi wa Mji wa Nzega katika kujaza majukumu yao ya kila siku kwenye mfumo huo wa e-utendaji
hii imetokana na baadhi ya watumishi kutokuwa na uelewa wakutosha katika matumizi ya mfumo
akikamilisha mafunzo hayo Bi .Cecilia Meela kutoka ofisi ya Rais menejiment ya utumishi wa umma na utawala bora amewaasa watumishi hao kuyafanyia kazi yaliyo fundishwa kwakua sehemu zote zenye changamoto amezifundisha naanaimani sasa kila mmoja aliye hudhulia mafunzo atakuwa ameelewa vyakutosha alisema .
NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)
Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA
Simu ya Mezani: +255677003373
Simu ya Mkononi: +255677003373
Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz
Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017