• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, WAZEE NA WATOTO AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA KITUO CHA AFYA ZOGOLO

Tarehe Iliyowekwa: April 18th, 2018

Waziri wa Afya,  Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu tarehe 14.04.2018 alitembelea Halmshauri ya Mji Nzega kukagua utoaji wa huduma za Afya.

Akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkao wa Tabora Ndg.Aggrey Mwanri,Mkuu wa Wilaya Ndg.Godfrey Ngupula,Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini Mhe. Mohamed Bashe,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega Ndg.Philemon Magesa pamoja na wataalam na wageni wengine mbalimbali,Mhe. Ummy Mwalimu alitembelea Kituo cha Afya Zogolo,Hospitali ya Wilaya ya Nzega ambayo iko katika eneo la Halmashauri ya Mji pamoja na Zahanati ya Mbogwe.

Akiwa katika kituo cha Afya Zogolo, Ummy Mwalimu aliweka jiwe la Msingi wa upanuzi wa ujenzi wa Kituo hicho.Kabla ya kuweka jiwe la Msingi alifanya ukaguzi wa ujenzi wa kituo hicho ambapo ailiridhika kwa kiasi kikubwa kwa kazi iliyofanyika.

Wakati akizungumza na Wananchi wa kata ya Nzega Ndogo aliwashukuru wananchi wa Nzega ndogo kwa mapokezi mazuri pamoja na ushiriki wao katika kuleta maendeleo.

Alisisitiza juu ya utoaji wa huduma bora za Afya na kwamba wakati Rais anaingia madarakani kituo cha Afya Zogolo ilikuwa na bajeti ya tshs 1.6 milioni lakini mpaka sahivi bajeti imepanda hadi kufikia tshs  15 millioni ni hizi ni fedha zinazotoka Wizara ya fedha.

Alisisitiza pia juu ya kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya.

Alimshukuru Mkurugenzi kwa usimamizi mzuri wa  tsh milioni 500 iliyotolewa  kwaajili ya uboreshaji wa kituo cha Afya Zogolo  na kuridhishwa na ujenzi uliofanyika.

Aliahadi kutafuta fedha kwaajili ya kujenga  kliniki ya mama na mtoto katika kituo hicho.

Baadae alitembelea katika Hospitali ya Wilaya ya Nzega ambayo iko katika Halmashauri ya Mji wa Nzega aliweza kukagua utoaji wa huduma za Afya ambapo aliridhika na huduma zinazotolewa.

Pia alitembelea katika zahanati ya mbogwe ambapo alijionea huduma za Afya zinazotolewa .Akiwa katika kata ya Mbogwe  alipokea taarifa  ya Zahanati ya Mbogwe .Zahanati hiyo ni moja zahanati yenye nyota tatu katika Halmaashauri ya Mji Nzega.

Waziri Ummy Mwalimu alipokea kilio cha Wanambogwe ambapo waliomba zahanati hiyo ijengwe kuwa kituo cha Afya kwani wamekuwa wanasumbuka kufuata huduma mbali kutokana na jiografia ya Kata yao.

Waziri aliahidi kutafuta fedha kwaajili ya Ujenzi wa zahanati hiyo na kuwa kituo cha Afya.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017