• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

ZAIDI YA WATOTO 16000 KUPATA CHANJO YA SURUA NA RUBELA NZEGA MJINI

Tarehe Iliyowekwa: February 15th, 2024

Jumla ya watoto 16,442 wenye chini ya umri wa miaka mitano wanatarajiwa kupata chanjo ya kuwakinga dhidi ya maambukizi ya magonjwa ya Surua na Rubella katika Halmashauri ya Mij wa Nzega.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Nzega, Dkt Anna Godwin Chaduo wakati wa uzinduzi wa Zoezi hilo litakalochukua takribani siku nne kufikia idadi tajwa hapo.

“Wazazi na walezi wanasisitizwa kupeleka watoto kwenye vituo vya chanjo vilivyotengwa ili kuhakikisha wanapatiwa chanjo ya kuwakinga na magonjwa ya mlipuko,” alisema Dkt Chaduo na kuongeza kuwa chanjo hizi ni salama na zimegharimiwa na serikali ili kulinda afya ya watoto ambao ni taifa la kesho.

Alisisitiza kuwa tayari baadhi ya nchi jirani zimepata milipuko ya magonjwa hayo na mengine ambayo yameathiri watoto na watu wazima, na hivyo ni muhimu sana kwa wazazi wilayani NZega kuchukua tahadhari kwa kuhakikisha kila mtoto anapata chanjo hiyo bila kukosa.

Alifafanua kuwa kwa watoto waliowahi kupata chanjo huko nyuma, ni muhimu wapate chanjo ya nyongeza (booster shot) ili waweze kuwa salama kwa kupata kinga kwa asilimia mia moja.

Kwa upande wake, Mratibu wa Chanjo wa Halmashauri ya Mji wa Nzega Bw. Mohamed Kitivo, alisema kuwa vimeandaliwa vitua 13 vya kuendesha zoezi hilo na kwamba wazazi na walezi  wafikena watoto wao bila kukosa katika ya saa mbili asubuhi hadi saa kumi namoja jioni.

Bw. Kitivo alifafanua ya Kuwa, vituo vilivyoandaliwa kutoa chanjo ni pamoa na Vituo vya afya viwili, Zahanati kumi, pamoja na hospital ya Mji Nzega. Pia, vimeandaliwa  vituo vya muda kwa maeneo yaliyoko pembezoni kama vile ofisi za serikali, shule nakadhalika ili kupunguza usumbufu wa kusafiri kwenda mbali kutafuta huduma hiyo ya chanjo

“Zoezi hili litachukua siku nne mpaka tano na tumejipanga kuhakikisha linafanikiwa kwa asilimia mia moja ili kuhakikisha hakuna mtoto anayeachwa bila kuchanjwa na kupata kinga inayohitajika,” Alisema.

Mgeni rasmi katika uzinduzi wa zoezi hili alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Nzega Mhe. Naitapwaki Tukai aliyewakilishwa na Afisa Tawala wa Wilaya ya Nzega Bi. Amina Suleiman Matua.


Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017