• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SHULE SITA MPYA NDANI YA MIAKA MITANO ZA JENGWA NZEGA MJI

Tarehe Iliyowekwa: September 29th, 2025

SHULE SITA MPYA ZA JENGWA MJI WA NZEGA

Katika kipindi cha Miaka Mitano ya Utawala wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Sekta ya elimu imepata mapinduzi makubwa na hivyo kuweza kuweka mazingira bora ya uandaaji wa nguvu kazi ya kesho.


Shule mpya zilizojengwa ni Pamoja na; Shule ya Sekondari Mbila, Shule ya Sekondari Hussein Bashe, Shule ya Sekondari Humbi na shule ya kwanza ya Amali Wilayani Nzega ijulikanayo kama Nzega Techinical Sekondary School.


Kwa mara ya kwanza katika historia ya wilaya ya Nzega, imejengwa shule ya sekondari yenye ghorofa moja, yaani Hussein Bashe sekondari iliyopo maeneo ya Uwanja wa Ndege.


Shule hizi zimeongeza udahiri wa Wanafunzi kwa kiasi kikubwa na hivyo kuwapatia Vijana wengi wa Kitanzania fursa ya elimu katika mazingira tulivu.

Kwa Upande wa Elimu Msingi, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya juhudi imara za Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini Mhe. Hussein Bashe, zimejengwa shule mbili za Msingi. Shule hizo ni Pamoja na shule ya Msingi Utemini na Shule ya Msingi Uwanja wa Ndege.


Madarasa na matundu ya vyoo pia yamejengwa kwa wingi ili kuhakikisha hakuna hata mtoto mmoja anabakia nyuma katika suala la kutafuta elimu bora.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • TREKTA 20, POWER TILLER KULETA MAPINDUZI YA KILIMO HALMASHAURI YA MJI NZEGA

    October 02, 2025
  • SHULE SITA MPYA NDANI YA MIAKA MITANO ZA JENGWA NZEGA MJI

    September 29, 2025
  • JENGO JIPYA LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA MJI WA NZEGA LIMEKABIDHIWA

    September 24, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA RAIS WAKUTANA NA CMT

    August 22, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017