• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Dkt. Gwajima akoshwa na kukamatwa kwa watuhumiwa kifo cha mwanafunzi Mjini Nzega.

Tarehe Iliyowekwa: October 24th, 2024

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, amepongeza hatua za kukamatwa kwa watumishi watatu wa Zahanati ya Miguwa ilioyoko Nzega Mjini kwa tuhuma za kuhusika katika kifo cha mwanafunzi kwenye jaribio la utoaji mimba.

Waziri Dkt. Gwajima alitoa pongezi hizo Mjini Nzega, Mkoa wa Tabora Jumanne ya tarehe 23/10/2024 wakati wa zoezi la kuweka jiwe la msingi kwenye Ujenzi wa barabara na daraja kubwa katika kata ya Ijanija Mjini Nzega, linalolenga kuimarisha upatikanaji wa huduma za jamii kwa wakazi wa maeneo hayo.

“Nampongeza Mkuu wa Mkoa Tabora kwa kuwezesha kukamatwa kwa watumishi wa Kituo cha Afya Miguwa pamoja na wazazi wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha mtoto huyo,” Dkt. Gwajima alisema na kuongeza kwamba juhudi za kupambana na ukatili dhidi ya watoto zinakwama pale matendo hayo yanapofanywa na ndugu wa karibu, ikiwemo wazazi.

Awali, Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paul Matiko Chacha, alimueleza Waziri Dkt. Gwajima kuwa binti mmoja mkazi wa kijiji cha Miguwa aliyehitimu elimu ya shule ya msingi mwaka huu alihisiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na babake mzazi. Mhe. Matiko alieleza kuwa mama wa kambo wa binti huyo aligundua hilo na kumuonya mumewe, lakini hakuchukua hatua za kutosha kuachana na matendo hayo.

“Kitendo hicho haramu kilendelea hadi pale ilipobainika kuwa binti alikuwa na ujauzito wa baba yake. Walijaribu kutoa ujauzito huo kwa usaidizi wa mkuu wa Zahanati ya Miguwa. Zoezi hili lilifanyika usiku, na binti alipata maumivu makali ambayo yalisababisha kifo chake,” alisema Mhe. Matiko.

Aidha, baada ya kifo chake, juhudi za kificho zilifanyika ili kuuzika mwili wa binti huyo katika kijiji kingine, lakini vyombo vya ulinzi na usalama Wilayani Nzega viliingilia kati na kuwakamata wazazi hao pamoja na wahudumu wa afya wanaotuhumiwa. Uchunguzi unaendelea na wahusika watafikishwa mahakamani.

Imeadaliwa na James Kamala, Afisa Habari – Nzega Mji.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • MJI WA NZEGA WAPATA HATI SAFI

    June 19, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

    June 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NZEGA AKAGUA MIRADI YA MWENGE WA UHURU

    June 10, 2025
  • EID AL-ADHA

    June 06, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017