• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MADIWANI HALMASHAURI YA NZEGA MJI WAFANYA ZIARA

Tarehe Iliyowekwa: February 14th, 2023

               MADIWANI HALMASHAURI YA NZEGA MJI WAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO 

Katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa katika viwango na kufuata utaratibu madiwani wa halmashauri ya Mji Nzega wamefanya ziara kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa ambapo wametembelea baadhi ya miradi kuona jinsi inavyotekelezwa

Miradi iliyotembelewa ni mradi wa ujenzi wa shule ya msingi Utemini na zahanati katika kijiji cha uchama

Katika mradi wa ujenzi wa shule ya msingi utemini uliogharimu Tshs 250,000,000 fedha toka mfuko wa EP4R kwa kujenga  vyumba tisa vya madarasa, jengo la utawala,matundu manne ya vyoo vya walimu na matundu 26 ya vyoo vya wanafunzi.Mradi huu umekwisha  kukamilika  ambapo hadi sasa shule imekwisha sajiliwa kwa Namba. EM19826 na wanafunzi tayari wanaendelea na masomo.

 Akizungumza katika ziara hiyo, Msimamizi wa mradi wa ujenzi, Mwl. Peter Charles amesema  “Shule hii itasaidia kuondoa mrundikano wa wanafunzi katika shule ya msingi Imeli, ushirika na makomelo ambazo zinaizunguka kata ya utemini na kuondoa kero kwa wanafunzi kutembea umbali mrefu kujitafutia elimu”

Aidha katika mradi wa ujenzi wa zahanati mpya katika kijiji cha Uchama inayojegwa kupitia fedha za mapato ya ndani  shilingi milioni 50 ambapo ujenzi wake bado unaendelea ambapo tayari paa limekwisha ezekwa.

Akizungumza katika ziara hiyo mwenyekiti wa halmashauri  ya Mji Nzega Bi. Belbara Makono ambaye aliongoza ziara hiyo ameridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo na kumtaka mhandisi kuhakikisha  jengo la zahanati linakamilika kwa haraka kama walivyoafikiana  ili kuondoa kero kwa wakina mama wajawazito na watoto kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017