WAJUMBE WA CAMFED WA WILAYA YA NZEGA (CDC) WAKUTANA KUWAPITISHA WA ZABUNI
Kikao cha kuwa jadili na kuwapitisha wazabuni watakao nunua vifaa vya Wanafunzi ambao ni wafadhiliwa wa shirika la CAMFED kimefanyika kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari Bulunde siku ya ijumaa tarehe 30 Januari ,2026 .
kufanyika kwa zoezi hili niishara ya Shirika la CAMFED linahakikisha wanafunzi wa fadhiliwa wanapata bidhaa bora na kwa wakati .
NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)
Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA
Simu ya Mezani: +255677003373
Simu ya Mkononi: +255677003373
Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz
Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017