• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Madiwani Nzega waitaka Tanesco kuimarishwa upatikanaji wa umeme mara moja.

Tarehe Iliyowekwa: September 8th, 2023

Na JAMES KAMALA

Sintofahamu ya kukatika katika kwa umeme na mgawo wa mara kwa mara imelilazimu Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Nzega kuiomba shirika la ugavi wa umeme nchini – Tanesco kuokoa jahazi.

Akiongea wakati wa kuhitimisha baraza hilo Mjini Nzega jana, Mwenyekiti wa Baraza hilo la madiwani Mhe.  Belbara K. Makono alisema kutokuwepo kwa umeme wa uhakiki kunarudisha nyuma juhudi za wakazi wa mji wa Nzega kujikwamua kiuchumi na hivyo Tanesco ishughilikia suala hilo haraka sana iwezekanavyo.

“Vijana wamejiajiri kwenye shughulil zinazohitaji umeme kama vile saluni, uchomeleaji na nyinginezo, hivyo Tanesco wanapaswa kuhakikisha kuna umeme wa uhakika,” Alisema na kuogeza kuwa hali hii inakwamisha juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan za kuimarisha upatikanaji wa umeme na kuwaletea wakazi wa Nzega na Tanzania kwa ujumla maendeleo.

Mhe. Makono pia aliitaka Tanesco kuwa inatoa mapema taarifa ya kukatika umeme  badala ya kukaa kimya ili wakazi wa Mji wa Nzega waweze kujua mapema na kujipanga jinsi ya kukabiliana na hali hiyo.

Awali, Diwani wa kata ya Nzega Mjini Magharini Mhe. Godfrey Malema, aliliambaia Baraza hilo kuwa Umeme umekuwa ukikatika katika zaidi ya mara saba kwa siku akidai kuwa licha ya kuchelewesha shughuli  za kiuchumi, wakazi wa mji wa Nzega wamekuwa wakipata hasara kubwa kama vile kuungua vifaa vya ndani.

“Haiwezekani wilaya zote za mkoa wa Tabora na maeneo mengine ya tanzania yana umeme, lakini hapa Nzega tuko gizani na umeme ukirudi hautengemai. Tunaomba meneje TAnesco ajitathimini na ikiwezekana aondolewe,” alisema

Akiaongea kwaniaba ya Meneje tanesco wilaya ya Nzega bwana Masimino Swalo, Fundi umeme kutoka shirika hilo bwana Abilal Nkya, alisema sababu za kukatika katika ovyo kwa umeme wilalyani hap kumekuwa kukisababishwa na hujuma kwa mindombino ya tanesco.

Hujuma hizo, Bwana Bilal alibainisha kuwa ni pamoja na wananchi kukatakata nguzo, kuiba nyaya na hiivyo kusababisha shirka hilo kushindwa kutoa huduma kama ipasavyo. Hata hivyo, sababu hizo zilikataliwa na Madiwani wa baraza hio kuwa hazina mashiko na haziingii akilini kwa kuwa hakuna ushahidi wa kushikika unoweza kutolewa na tanesco.

(Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano serikalini Halmashauri ya Mji Wa Nzega, James kamala)

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017