• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TANZIA

Tarehe Iliyowekwa: February 17th, 2026

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Nzega afariki kwa ajali


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Nzega, Mhe. Paschal Kigalu, amefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso.


Ajali hiyo ilitokea alfajiri ya tarehe 18 Februari 2026 katika eneo la Kitangili, ikihusisha gari aina ya Range Rover Vogue na Toyota Kluger, mali ya mwenyekiti huyo.


Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mji wa Nzega, Dkt. Sephania Muyanga, amethibitisha kupokea miili miwili ya marehemu waliofariki kufuatia ajali hiyo.


“Tumepokea miili miwili ya wanaume waliofariki kwenye ajali hiyo, ukiwemo wa Bwana Kigalu na mwingine ambaye bado hajafahamika. Pia tumepokea majeruhi kadhaa ambao idadi yao itajulikana baadaye, na taratibu za kunusuru maisha yao zinaendelea,” alisema Dkt. Muyanga.


Mhe. Kigalu amefariki dunia ikiwa ni miezi miwili tu tangu achaguliwe na Baraza la Madiwani kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Nzega. Aliibuka mshindi katika uchaguzi wa baraza hilo uliofanyika tarehe 5 Desemba 2025, kufuatia ushindi wake wa kiti cha udiwani wa Kata ya Itilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa tarehe 29 Desemba 2025.


Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini, Mhe. Hussein Bashe, amesema kuwa marehemu ameacha pengo kubwa, na amewaomba wananchi kumuombea apumzike kwa amani.


“Tumepatwa na msiba mzito. Taratibu za mazishi zitatangazwa baadaye. Tuendelee kumuombea pumziko la milele,” alisema Mhe. Bashe wakati akifungua hafla ya kupongeza walimu kwa ufaulu bora wa shule za Mji wa Nzega

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • RC .Chacha msibani kwa aliye kuwa mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Nzega

    February 20, 2026
  • TANZIA

    February 17, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MJI NZEGA LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA TSH.26.1 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 13, 2026
  • KAMATI YA USHAURI YA HALMASHAURI YA MJI WA NZEGA YAPITISHA BAJETI YA 2026/2027

    February 10, 2026
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017