• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Tumieni Mifumo ya Taarifa za mifumo ya GIS kufanya maamuzi yenye tija’ – OR TAMISEMI.

Tarehe Iliyowekwa: July 21st, 2023

Tumieni mifumo ya taarifa zamifumo ya GIS kufanya maamuzi yenye tija’ – OR TAMISEMI.

Halmashauri za Wilaya na Mji Nzega zimetakiwa kufanya maamuzi ya mbalimbali kwa kutumia mifumo ya taarifa za kijiografia (GIS) ili kutoa huduma kwa wananchi kwa haraka na kupunguza gharama za kiuendeshaji.

Akiongea katika mafunzo ya siku moja ya mwongozo GIS Mjini Nzega jumanne, Afisa Mipangomiji Mwandamizi Kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Bw.George Joseph Miringay, alisema ni wakati sahihi sasa kwa halmashauri hizi kuachana na mifumo ya kizamani ya kutumia taarifa za kiutawala ambazo hazina ufanisi zaidi

“Tayari kuna anwani za nyumba na makazi pamoja na ramani za maeneo, halmashauri hizi zinapaswa sasa kutumia taarifa za GIS ili kufanya maamizi ya kisayansi yenye tija kwa maendeleo ya wananchi na kupunguza gharama za kiutendajii,” alisema

Aliongeza kuwa manufaa ya kutumia taarifa za GIS katika kufanya maamuzi ni pamoja na kujua wapi pana umuhimu na uharaka wa kuelekezwa miundombinu ya Huduma za afya, shule na barabara ielekzwe, kuliko kuirundika sehemu moja na kulazimisha wananchi kusafiri mwendo mrefu kutafuta huduma hizo.

Kwa upande wa kupunguza gharama za kiutendaji, Bwana Miringay alisema kuwa matumizi ya taarifa za mifumo ya kijiografia zitasaidia halmashauri kujua ni watumishi gani wanatoka mbali na hivyo kustahili posho, na pia kujua kiasi gani cha mafuta ya gari yatahitajika kuzungukia Shule zote wakati wa ukaguzi au kusambaza mitihani

“Matumizi ya mfumo wa GIS pia utarahisisha ukusanyaji wa mapato na  kuhakikisha yanawasilishwa kikamilifu bila kupotea. Mfumo huu pia utasaidia kujua mipaka ya kiutawala na hivyo kusaidia kwa mfano kukabiliana na magonjwa ya milipuko kwa kuelekeza nguvukazi na rasilimali nyingie kwenye kiini cha magonjwa hayo,”

Alisema kuwa wadau wengine wa mfumo ya GIS ni pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Wakuu wa Mikoa yote nchini, Halmashauri za Wilaya, Kata, Mitaa au Vitongoji na pamoja na sekta binafsi.

Kwa upande, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji Nzega Bwana Shomary Mndolwa alihahidi kutekeleza yote yaliyofundishwa kwa kushirikiana na Ofisiya Rais TAMISEMI. Bwan Mndolwa alisema kuwa nyaraka zote muhimu zitapitiwa na kufanyiwa kazi ipasavyo.


Imeandaliwa na kitengo cha habari serikalini,

Hamashauri ya Mji Nzega.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017