Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAHUDUMU WA AFYA HALMASHAURI YA MJI NZEGA WAPEWA MAFUNZO

Tarehe Iliyowekwa: January 18th, 2025

WATUMISHI KUTOKA VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA YA AFYA  MJI WA NZEGA WAPEWA MAFUNZO


Watumishi kutoka vituo vya serikali na binafsi vya kutolea huduma ya afya wamepewa mafunzo ya kujenga uwezo wa kutoa huduma za afya bora kwakufata miongozo iliyo weka .

Mafunzo hayo yamefanyika siku ya Alhamisi na Ijumaa  kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji Nzega uliopo oneo la Ipazi .


Mkufunzi wa Mafunzo hayo Daktari Benedict Komba kutoka ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa

amesema wataalamu hawa tunajua wanauwezo mkubwa wa maswala ya afya lakini kujifunza huwa hakuna mwisho hiki wanacho kipata hapa kitaenda kuwaongezea zaidi uwezo wa kutoa huduma ya afya bora kwakufata miongozo .


 Daktari Anna Chanduo Mganga Mkuu Halmashauri ya Mji wa Nzega amewaasa wanamafunzo kuhakikisha wanasikiliza kwa makini kwakua wao pia watakuwa wakufunzi wakiludi kwenye vituo vyao vya kutolea huduma za afya

 ,na pia pale wataona hapaja eleweka ni vyema kuuliza ili kupata ufafanuzi alisisitiza hilo.


Henry Paul ni muuguzi wa Halmashauri ya Mji Nzega ambae pia alikuwa mshiriki kwenye mafunzo hayo amesema anaishukuru sanaa serikali kwakua inawakumbuka kuwaletea mafunzo ambayo yanasaidia katika kufanya kazi kwa ubora na kwakufuata miongozo.


Watumishi walio hudhulia kwenye mafunzo hayo nipamoja na wafawidhi wa vituo,Wauguzi,watalaamu wa maabara ,timu ya usimamizi na uendeshaji wa huduma za afya Halmashauri ya Mji wa Nzega na wafamasia .


Mafunzo yamendeshwa kwa siku mbili kuanzia siku ya Alhamisi na kumalizika siku ya  Ijumaa baada ya mafunzo hayo kunatarajiwa ufanisi katika kazi utaongeza maladufu.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017