• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wakazi wa Nzega Mji kupatiwa matibabu ya kibingwa.

Tarehe Iliyowekwa: June 14th, 2024

Na James Kamala, Afisa Habari, Nzega Mji.

Wakazi wa Wilaya ya Nzega wenye magonjwa sugu wanaendelea kupatiwa matibabu ya kibingwa katika hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Nzega. Lengo la kambihiyo ya kibingwa ni kuhudumia takribani wakazi 500 ndani ya siku tano zilizotengwa.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Nzega Dkt Anna Chaduo, alipoeleza kwamba madaktari bingwa tayari wapo na wanaendelea kutoa huduma kama ilivyopangwa.

Dkt Chaduo alisema madkatari wanaotoa huduma za kibingwa kwenye kambi ya siku tano,ni pamoja na madaktari bingwa wa Usingizi, daktari bingwa wa watoto,  Upasuaji, njia ya mkojo, magonjwa ya ndani na wale wa akina mama.

“Ujio wa wataalamu hawa kwenye kambi ya siku tano unafaida kubwa kwa wananchi. Faida hizo ni pamoja na kupunguza gharama na usumbufu kwa wangonjwa ambao wangelazimika kwenda mwendo mrefu kufuata huduma hizi kwenye hospitali za rufaa nje ya Mkoa wa Tabora,” alisema.

Aliongeza kuwa mbali ya kutoa huduma za matibabu, wataalamu hao wenye ubobezi wa kutoa huduma za afya, watafanya kazi sambamba na madakatri wa hospitali ya Mji wa Nzega na hivyo, kuwapatia ujuzi zaidi wa kuwahudumia wagonjwa.

Dkt Chaduo alisema tayari serikali imesheleta mashine ya kusaidia wagonjwa wenye matatizo ya kupumua na nyinginezo, ambazo wataalamu hao watasaidia kuweleimisha watendaji wa hospitali yake jinsi ya kutumia mashine hizo na kuzitunza kwa ajili ya huduma za afya zenye tija.

Kambi hiyo ilianza siku ya jumatatu tarehe 10/06/2024 na itadumu hadi siku ya ijumaa tarehe 14/06/2024. Tayari wakazi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega wamejitokeza kwa wingi ili kupata ushauri, vipimo na matibabu ya kibingwa.  

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017