• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA MKUU WA WILAYA NZEGA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NZEGA MJI

Tarehe Iliyowekwa: July 19th, 2023

  Ziara ya mkuu wa wilaya nzega

Mkuu wa Wilaya ya Nzega Mhe. Naitapwaki Tukai ameagiza wahandisi kuhakikisha miradi yote ya ujenzi midiradi ya huduma za kijamii wilayani huapa inakamilika kwa wakati ili kuharakisha huduma kwa wananchi.

 Ameyasema hayo June 7,akifanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Mji wa Nzega huku akiongozana kamati ya ulinzi na usalama, kamati ya siasa ya Wilaya,pamoja na wakuu wa idara mbalimbali

Miongoni mwa miradi iliyotembelewa ni ujenzi wa standi ya mabasi ya Sagara unaotarajiwa kumalizika mwanzoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu ,Mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Husseni Bashe na jengo la mama na mtoto zahanati ya Miguwa.

Pamoja na miradi yote ya Boost ambapo kwa Halmashauri ya Mji Nzega ilipokea jumla ya shilingi milioni  984.5  kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 12,matundu ya vyoo 18 pamoja na ujenzi vyumba 2 vya madarasa ya mfano yenye matundu 6 ya vyoo. Pia Halmashauri Ya Mji Nzega inatekeleza ujenzi wa shule mpya ya msingi ya mikondo miwili yenye ; jengo la utawala, madarasa 14, madarasa ya mfano 2 yenye matundu 6 ya vyoo, Kichomea taka, na matundu 18 ya vyoo vya wanafunzi. Mhe. Tukai ameagiza majengo hayo yakamilishwe kwa wakati lakini pia yaendane na thamani ya fedha iliyotumika, hivyo ubora na uimara wa jengo ni muhimu kuzingatiwa.

Akizungumza katika ziara hiyo Katibu wa Kamati ya siasa ya CCM Wilaya Bi.Adia Rashid  amesisitiza wasimamizi wa miradi kuwa waaminifu na kuzitumia pesa za ujenzi kwa matumizi sahihi. Pia amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuipatia Halmashauri ya Mji Nzega miradi mikubwa ya maendeleo kama ujenzi wa standi mpya  ya mabasi inayogharimu kiasi cha shilingi bilioni 3.4 itakayosaidia kuongeza mapato ya ndani ya halmashauri.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA INEC WAASWA KUWA WAADILIFU

    April 29, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI WA NZEGA ANAWATAKIA WATUMISHI WOTE NA WAKAZI WA MJI WA NZEGA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA

    April 20, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA PATA MAFUNZO YA MFUMO WA IFT-MIS

    April 17, 2025
  • MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA IRANI ASILIMIA 100%

    April 16, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017