Tarehe Iliyowekwa: June 2nd, 2025
Ujenzi wa Bwalo Shule ya Sekondari Bulunde iliyopo Nzega Mjini umefikia asilimia 90 ambapo jumla ya fedha Tsh.milioni 94 zinatumika katika ujenzi huo ni fedha kutoka serikali kuu
Bwalo hil...
Tarehe Iliyowekwa: May 31st, 2025
VETA HIYOO KARIBU KUKAMILIKA
Ujenzi wa chuo cha VETA Halmashauri ya Mji wa Nzega kwa sasa umefikia asilimia 60 upo katika hatua ya upauaji ,chuo hiki chenye majengo 9 kikikamilika kitakuwa...
Tarehe Iliyowekwa: May 30th, 2025
WATOTO WAKIKE WENYE MAHITAJI MAALUMU KUANZA KUKAA BWENI
Watoto wakike wenye mahitaji maalumu Halmashauri ya Mji wa Nzega kuanza kukaa Bweni ,hili nikutokana na Ujenzi wa Bweni la Watoto ha...